Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Ahutubia Maadhimosho ya Siku ya Sheria Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimia na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Khamis Juma na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdallah, Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Mgeni Hassan Juma na Viongozi wa Serikali, alipowasili katika viwanja vya Mahkama Kuu ya Zanzibar Tunguu Wilaya ya Kati Unguja kwa ajili ya hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar iliyofanyika leo 13-2-2023

MAJAJI wa Mahkama Kuu Zanzibar wakiwa katika viwanja vya Mahkama Kuu Zanzibar Tunguu Wilaya ya Kati Unguja, wakati ukipingwa wimbo wa Taifa na wimbo wa Afrika Mashariki kabla ya kuaza kwa hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, iliyofanyika leo 13-2-2023 katika viwanj vya Mahkama Kuu Zanzibar Tunguu Unguja.
JAJI Mkuu wa Tanzania Mhe.Prof. Ibrahim Khamis Juma akizungumza na kutowa salamu wakati wa hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, iliyofanyika katika viwanja vya Mahkama Kuu Zanzibar Tunguu Wilaya ya Kati Unguja leo 13-2-2023.
JAJI Mkuu wa Zanzibar Mhe.Khamis Ramadham Abdallah akizungumza katika hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kuzungumza na Wananchi katika hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Mahkama Kuu Zanzibar Tunguu Wilaya ya Kati Unguja leo 13-2-2023


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizindua Bendera ya Mahkama Zanzibar, wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, iliyofanyika leo 13-2-2023, katika viwanja vya Mahkama Kuu Zanzibar Tunguu Wilaya ya Kati Unguja na (kushoto kwa Rais) Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdallah na (kulia kwa Rais) Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe.Prof. Ibrahim Khamis Juma
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizundua Ripoti ya Utendaji Kazi wa Mahkama kwa mwaka 2022, wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar,iliyofanyika katika viwanja vya Mahkama Kuu Zanzibar Tunguu Wilaya ya Kati Unguja leo 13-2-2023, na (kushoto) Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe.Khamis Ramadhan Abdallah


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, iliyofanyika leo 13-2-2023 katika viwanja vya Mahkama Kuu Zanzibar Tunguu Wilaya ya Kati Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, iliyofanyika leo 13-2-2023 katika viwanja vya Mahkama Kuu Zanzibar Tunguu Wilaya ya Kati Unguja
WAKUU wa Mihimili ya Mahkama Tanzania na Zanzibar pamoja na Watendaji Waandamizi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, iliyofanyika katika viwanja vya Mahkama Kuu Zanzibar Tunguu Wilaya Kati Unguja leo 13-2-2023
WAKUU wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakifuatilia hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, iliyofanyika katika viwanja vya Mahkama Kuu Zanzibar Tunguu Wilaya ya Kati Unguja leo 13-2-2023
MAJAJI wa Mahkama Kuu Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, wakati akihutubia katika hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar iliyofanyika katika viwanja vya Mahkama Kuu Zanzibar Tunguu Wilaya ya Kati Unguja leo 13-2-2023
WANANCHI na Wafanyakazi wa Hahkama Zanzibar wakihudhuria hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla hiyo ya Maadhimisho iliyofanyika katika viwanja vya Mahkama Kuu Zanzibar Tunguu Wilaya ya Kati Unguja leo 13-2-2023
WANANCHI na Wafanyakazi wa Hahkama Zanzibar wakihudhuria hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla hiyo ya Maadhimisho iliyofanyika katika viwanja vya Mahkama Kuu Zanzibar Tunguu Wilaya ya Kati Unguja leo 13-2-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe.Prof.Ibrahim Khamis Juma baada ya kumalizika kwa hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar iliyofanyika katika viwanja vya Mahkama Kuu Zanzibar Tunguu Wilaya ya Kati Unguja leo 13-2-2023.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.