Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na wakazi na wanachama wa CCM wa Kata ya Magara mara baada ya kuwasili Wilaya ya Babati Vijijini tayari kwa ziara ya kukagua Uhai wa Chama na kusimamia na kuhimiza Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 – 2025.
RUVUMA:JESHI LA POLISI WAMTIA MBARONI WIZI WA VIFAA NDANI YA MAGARINI HALFA
MINJA MKAZI WA SANAWALI JIJI LA ARUSHA
-
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi Mwandamizi
Marco Chilya,akionyesha baadhi ya kompyuta Mpakato(Laptop)zilizokamatwa na
Polisi k...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment