Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na wakazi na wanachama wa CCM wa Kata ya Magara mara baada ya kuwasili Wilaya ya Babati Vijijini tayari kwa ziara ya kukagua Uhai wa Chama na kusimamia na kuhimiza Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 – 2025.
PUMA ENERGY TANZANIA YAZINDUA KITUO KIPYA CHA MAFUTA MKOA WA SINGIDA
-
Na Mwandishi Wetu
Puma Energy Tanzania imezindua rasmi kituo chake kipya cha mafuta katika
Mkoa wa Singida, hatua inayoonyesha dhamira yake ya kupanua up...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment