Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na wakazi na wanachama wa CCM wa Kata ya Magara mara baada ya kuwasili Wilaya ya Babati Vijijini tayari kwa ziara ya kukagua Uhai wa Chama na kusimamia na kuhimiza Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 – 2025.
WADAU WAANZA KUVUTIWA NA MAKUMBUSHO YA JIOPAKI YA NGORONGORO LENGAI
-
Na Mwandishi wetu, Karatu Arusha.
Siku chache baada ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango, kuzindua M...
5 hours ago




No comments:
Post a Comment