Mradi wa Ujenzi wa Barabara za Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja umeaza kwa barabara ya mnazi mmoja, ujenzi huo unaofanywa na Kampuni ya ujenzi kutoka China ya CCECC, umeaza kwa kuondoa lami ya zamani kwa ajili ya ujenzi mpya wa barabara hiyo.
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment