Mradi wa Ujenzi wa Barabara za Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja umeaza kwa barabara ya mnazi mmoja, ujenzi huo unaofanywa na Kampuni ya ujenzi kutoka China ya CCECC, umeaza kwa kuondoa lami ya zamani kwa ajili ya ujenzi mpya wa barabara hiyo.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment