Mradi wa Ujenzi wa Barabara za Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja umeaza kwa barabara ya mnazi mmoja, ujenzi huo unaofanywa na Kampuni ya ujenzi kutoka China ya CCECC, umeaza kwa kuondoa lami ya zamani kwa ajili ya ujenzi mpya wa barabara hiyo.
WAFANYAKAZI MZUMBE WANOLEWA NA TAKUKURU, WANACHUO WAASWA KUZINGATIA MASOMO
-
Mtoa mada na mwanasheria wa Takukuru, Bw. Imani Mizizi akizungumza wakati
wa mafunzo ya juu ya Rushwa mahala pa Kazi kwa wafanyakazi wa Chuo Kikuu
Mzumbe ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment