Mradi wa Ujenzi wa Barabara za Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja umeaza kwa barabara ya mnazi mmoja, ujenzi huo unaofanywa na Kampuni ya ujenzi kutoka China ya CCECC, umeaza kwa kuondoa lami ya zamani kwa ajili ya ujenzi mpya wa barabara hiyo.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment