Habari za Punde

Maonesho ya Wadau wa Sekta ya Habari Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla, Waziri wa Habari Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe. Tabia Maulid Mwita na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said, alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja kuhudhuria Maadhimisho ya Miaka 30 yaSiku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani zilizofanyika katika ukumbi wa hoteli hiyo leo 3-5-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Afisa Habari wa Umoja wa Mataifa (UN) Nchini Tanzania Bi.Nafisa Didi, alipotembelea maonesho wa machapisho ya vipeperushi mbalimbali wakati wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Siku ya  Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani zilizoadhimishwa Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-5-2023, na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe. Tabia Maulid Mwinti na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mratibu wa Programu ya Media for SDGS Bi.Ingiahedi Chediel Mduma, alipotembelea maonesho wa machapisho ya vipeperushi mbalimbali wakati wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, zilizoadhimishwa Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-5-2023, na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe. Tabia Maulid Mwinti na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Afisa wa Mawasiliano ya Mitandao –TWAWEZA,Bi.Jane Shussa, alipotembelea maonesho wa machapisho ya vitabu mbalimbali wakati wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani zilizoadhimishwa Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-5-2023, na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe. Tabia Maulid Mwinti na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza, Afisa Habari wa Jamii Forums Ndg.Francos Nyonzo, alipotembelea maonesho wa machapisho ya vitabu mbalimbali wakati wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani zilizoadhimishwa Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-5-2023, na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe. Tabia Maulid Mwiti na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na Mwenyekiti wa TAMWA Tanzania Bi. Joyce Shebe
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza, Afisa Biashara wa Hamasa Media Tanzania Ndg.Emmanuel Ulomi, alipotembelea maonesho wa machapisho ya vitabu mbalimbali wakati wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani zilizoadhimishwa Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-5-2023, na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe. Tabia Maulid Mwiti na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza, Afisa Programu wa Media Councial of Tanzania Ndg.Paul Mallimbo, alipotembelea maonesho ya machapisho ya vitabu na vipeperushi mbalimbali wakati wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani zilizoadhimishwa Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-5-2023, na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe. Tabia Maulid Mwiti na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na Mwenyekiti wa TAMWA Tanzania Bi. Joyce Shebe.


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza, Mkurugenzi wa TAMWA –Zanzibar Dkt.Mzuri Issa na Mkurugenzi TAMWA –Tanzania Dkt. Rose Reuben, alipotembelea maonesho wa machapisho ya vitabu na vipeperushi mbalimbali wakati wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani zilizoadhimishwa Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-5-2023, na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe. Tabia Maulid Mwiti na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Kitabu cha Mapendekezo ya Wadau wa Sekta ya Habari Tanzania, na Mkurugenzi wa TAMWA –Tanzania Dkt. Rose Reuben, wakati akitembelea maonesho ya Wadau wa Sekta ya Habari Tanzania, wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Miaka 30 ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, iliyoadhimishwa Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-5-2023
 
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.