Habari za Punde

Mgombea Uwakilishi Kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Jangombe Mhe.Ali Gulam Akishindikizwa na Wananchi wa Jimbo hilo Kuelekea Ofizi za Tume ya Uchaguzi za Wilaya ya Mjini Kuchukua Fomu ya Uteuzi Kugombea Uwakilishi

Mgombea Uwakilishi wa Jimbo la Jangombe Mhe. Ali Gulam akiwa na Wagombea Ubunge na Udiwani wa Wadi za  Jimbo hilo wakiwa  katika matembezi kuelekea Ofisi ya Tume ya Uchaguzi ya Wilaya ya Mji Maisara Unguja kwa ajili ya kuchukua Fomu ya Uteuzi kugombea Uwakilishi wa Jimbo la Jangombe Zanzibar.



 








No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.