Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akishiriki Mkutano wa Dharura wa 21 wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya
ya Afrika Mashariki (EAC) uliofanyika Ikulu ya Bujumbura nchini
Burundi leo tarehe 31 Mei 2023.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment