Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na
Wakuu wa nchi na Serikali kwenye Mkutano wa 15 wa BRICS unaofanyika Jijini
Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 24 Agosti, 2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye
mazungumzo na Rais wa China Mhe. Xi Jinping kando ya Mkutano wa BRICS unaofanyika
Jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 24 Agosti, 2023.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment