Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na Viongozi alipowasili katika Masjid Al- Rahmah Mombasa,Mkoa wa Mjini Magharibi leo alipojumuika na waislamu katika ibada ya swala ya Ijumaa.[Picha na Ikulu] 01/09/2023 .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) alipojumuika na Waumini mbalimbli na Viongozi katika ibada ya swala ya Ijumaa leo katika Masjid Al- Rahmah Mombasa,Mkoa wa Mjini Magharibi .[Picha na Ikulu] 01/09/2023 .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akitoa nasaha zake kwa Waumini mbalimbli na Viongozi mara baada ya kumalizika kwa ibada ya swala ya Ijumaa leo katika Masjid Al- Rahmah Mombasa,Mkoa wa Mjini Magharibi .[Picha na Ikulu] 01/09/2023
Waumini wa Dini ya Kiislamu waliohudhuria Ibada ya Swala ya Ijumaa leo, Masjid Al- Rahmah Mombasa,Mkoa wa Mjini Magharibi wakiitikia Dua Iliyoombwa baada ya ibada hiyi iliyojumuisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi na Viongozi mbali mbali. [Picha na Ikulu] 01/09/2023.
Waumini wa Dini ya Kiislamu waliohudhuria Ibada ya Swala ya Ijumaa leo, Masjid Al- Rahmah Mombasa,Mkoa wa Mjini Magharibi wakiitikia Dua Iliyoombwa baada ya ibada hiyi iliyojumuisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi na Viongozi mbali mbali. [Picha na Ikulu] 01/09/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akisalimiana na Khatibu wa Swala ya Ijumaa Masjid Al- Rahmah Sheikh Mussa Ali Mohamed leo mara baada ya kumalizika kwa ibada hiyo.[Picha na Ikulu] 01/09/2023 .
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment