Habari za Punde

Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League 2023-2024" Kati ya Mafunzo na Maendeleo Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung Timu ya Mafunzo Imeshinda Mchezo kwa Bao 2-1

Mshambuliaji wa Timu ya Maendelea akipiga mpira golini kwa Timu ya Mafunzo wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League 2023-2024" mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedungu.Timu ya Mafunzo imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.






 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.