Mshambuliaji wa Timu ya Maendelea akipiga mpira golini kwa Timu ya Mafunzo wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League 2023-2024" mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedungu.Timu ya Mafunzo imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
NBAA YAENDESHA WARSHA KUHUSU TAARIFA ENDELEVU''SUSTAINABILIY REPORTING"
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendesha
warsha ya siku nne kuhusu uandaaji wa muongozo na ripoti kuhusu masuala ya...
33 minutes ago
No comments:
Post a Comment