Mshambuliaji wa Timu ya Maendelea akipiga mpira golini kwa Timu ya Mafunzo wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League 2023-2024" mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedungu.Timu ya Mafunzo imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment