Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Afungua Taasisi ya Teknolojia ya Madras (IIT) Kampasi ya Zanzibar Fumba Zanzibar

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa tatu kulia) na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Lela Mohamed Mussa na Balozi wa India Nchini Mhe.Binaya Srikanta Pradhan (kushoto) wakifungua pazia kama ishara ya Uwekaji wa Jiwe la msingi Ujenzi wa Taasisi ya Teknolojia ya Madras (IIT) Kampasi ya Zanzibar katika eneo la Fumba Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo(wa pili kulia) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi.

Muonekano wa Jengo la Taasisi ya Teknolojia ya Madras (IIT) Kampasi ya Zanzibar katika Kijiji cha Fumba Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi,ambapo   Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi,aliweka jiwe la ufunguzi wa taasisi hiyo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe  Mama Mariam Mwinyi (kushoto) wakipata maelezo kutoka kwa Mjumbe wa Kamati ya Uendeshaji Ndg.Abdirahman Ali Hassan wakati alipotembelea baadhi ya vyumba mbali mbali katika Taasisi ya Teknolojia ya Madras (IIT) Kampasi ya Zanzibar leo Kijiji cha Fumba Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi alipoweka jiwe la msingi ujenzi wa taasisi hiyo (kulia) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Lela Mohamed Mussa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkurugenzi Dhamana wa Taasisi ya (IIT) Kamapasi ya Zanzibar Prof.Preeti Aghalayam (kulia)  wakati alipotembele chumba cha Kompyuta katika Taasisi ya Teknolojia ya Madras (IIT) Kampasi ya Zanzibar Kijiji cha Fumba Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi  leo wakati alipoweka jiwe la Ufunguzi wa Taasisi hiyo.(wa pili kushoto)  Mke wa Rais  Mama Mariam Mwinyi na (wa pili kulia) Mjumbe wa Kamati ya Uendeshaji Ndg.Abdirahman Ali Hassan.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (mbele) akiweka saini yake wakati alipotembele chumba cha Kompyuta katika Taasisi ya Teknolojia ya Madras (IIT) Kampasi ya Zanzibar Kijiji cha Fumba Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi  leo wakati alipoweka jiwe la Ufunguzi wa Taasisi hiyo (kushoto)  Mjumbe wa Kamati ya Uendeshaji Ndg.Abdirahman Ali Hassan, Balozi wa India Nchini Mhe.Binaya Srikanta Pradhan na Mkurugenzi Dhamana wa Taasisi ya (IIT) Kampasi ya Zanzibar Prof.Preeti Aghalayam.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakimsikiliza Mkurugenzi Dhamana wa Taasisi ya (IIT) Kamapasi ya Zanzibar Prof.Preeti Aghalayam (katikati)  wakati alipotembele chumba cha makulati  katika Taasisi ya Teknolojia ya Madras (IIT) Kampasi ya Zanzibar Kijiji cha Fumba Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi  leo wakati alipoweka jiwe la Ufunguzi wa Taasisi hiyo.(kulia) Mjumbe wa Kamati ya Uendeshaji Ndg.Abdirahman Ali Hassan.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (katikati) wakifuatana na Mkurugenzi Dhamana wa Taasisi ya (IIT) Kamapasi ya Zanzibar Prof.Preeti Aghalayam (wa pili kulia)  wakati alipotembele sehemu mbali mbali katika  katika Taasisi ya Teknolojia ya Madras (IIT) Kampasi ya Zanzibar Kijiji cha Fumba Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi  leo wakati alipoweka jiwe la Ufunguzi wa Taasisi hiyo.(kulia) Balozi wa India Nchini Mhe.Binaya Srikanta Pradhan na n na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Lela Mohamed Mussa (kushoto)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na  Mkurugenzi Dhamana wa Taasisi ya (IIT) Kamapasi ya Zanzibar Prof.Preeti Aghalayam (wa pili kulia)  wakati alipotembele sehemu mbali mbali katika  katika Taasisi ya Teknolojia ya Madras (IIT) Kampasi ya Zanzibar Kijiji cha Fumba Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi  leo wakati alipoweka jiwe la Ufunguzi wa Taasisi hiyo.(kulia) Balozi wa India Nchini Mhe.Binaya Srikanta Pradhan.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akitoa hutuba yake katika hafla ya  Uwekaji wa Jiwe la Ufunguzi wa Taasisi ya Teknolojia ya Madras (IIT) Kampasi ya Zanzibar katika Kijiji cha Fumba Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ambapo Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Viongozi mbali mbali walihudhuria.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi   akimkabidhi cheti Prof.Raghunatham Rengasamy katika hafla ya  ufunguzi rasmi  wa Taasisi ya Teknolojia ya Madras (IIT) Kampasi ya Zanzibar katika Kijiji cha Fumba Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi.

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi Dhamana wa Taasisi ya (IIT) Kamapasi ya Zanzibar Prof.Preeti Aghalayam katika hafla ya  ufunguzi rasmi  wa Taasisi ya Teknolojia ya Madras (IIT) Kampasi ya Zanzibar katika Kijiji cha Fumba Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi.




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.