Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC ) Kanda ya Zanzibar Ndg. Khamis Msami akimkabidhi zawadi ya fedha tasilim mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup kutoka Timu ya Singida FG. Chukwu Moris kwa kuibuka mshindi wa mchezo huo na Timu ya APR FC,mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Singida FG imeshinda mchezo huo kwa bao 3-1.
Nafasi ya Kuibuka Milionea Ipo Leo
-
NI Ijumaa nyingine tena ya kutusua kijanja na wakali wa ubashiri
Meridianbet. Mechi za ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea leo, hivyo
suka jamvi lako ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment