Habari za Punde

Mchezaji wa Timu ya Singida FG Aibuka Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 na Kuzawadia Zawadi ya Shilingi Laki Tano na Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC )

Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC ) Kanda ya Zanzibar Ndg. Khamis Msami akimkabidhi zawadi ya fedha tasilim mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup kutoka Timu ya Singida FG. Chukwu Moris kwa kuibuka mshindi wa mchezo huo na Timu ya APR FC,mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Singida FG imeshinda mchezo huo kwa bao 3-1. 

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.