Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC ) Kanda ya Zanzibar Ndg. Khamis Msami akimkabidhi zawadi ya fedha tasilim mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup kutoka Timu ya Singida FG. Chukwu Moris kwa kuibuka mshindi wa mchezo huo na Timu ya APR FC,mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Singida FG imeshinda mchezo huo kwa bao 3-1.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment