Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC ) Kanda ya Zanzibar Ndg. Khamis Msami akimkabidhi zawadi ya fedha tasilim mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup kutoka Timu ya Singida FG. Chukwu Moris kwa kuibuka mshindi wa mchezo huo na Timu ya APR FC,mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Singida FG imeshinda mchezo huo kwa bao 3-1.
Siasa : Dkt. Mwinyi - CCM ni Mhimili wa Amani na Maendeleo
-
[image: WhatsApp%20Image%202025-09-18%20at%208.47.18%20AM]
[image: WhatsApp%20Image%202025-09-18%20at%208.47.20%20AM%20(1)]
MGOMBEA wa kiti cha Rais wa ...
22 minutes ago
No comments:
Post a Comment