Habari za Punde

Michuano ya Kombe la Mapinduzo Cup 2023/2024 Ikiendelea Kurindima Katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar Kati ya Timu ya Azam na Vitalo.Timu ya Azam Imeshinda kwa Bao 301

Mchezaji wa Timu ya Azam akimiliki mpira huku mchezaji wa Timu ya Vitalo akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar, katika mchezo huo Timu ya Azam imeshinda kwa bao 3-1 na kuingia Robo fainali ya Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup.



 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.