Mchezaji wa Timu ya Azam akimiliki mpira huku mchezaji wa Timu ya Vitalo akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024, mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar, katika mchezo huo Timu ya Azam imeshinda kwa bao 3-1 na kuingia Robo fainali ya Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment