Afisa wa Bima NIC Insurance Bi. Lilian Manumbu akimkabidhi zawadi ya fedha taslim shilingi laki tano Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi kutoka Timu ya Azam. baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo huo.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment