Afisa wa Bima NIC Insurance Bi. Lilian Manumbu akimkabidhi zawadi ya fedha taslim shilingi laki tano Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi kutoka Timu ya Azam. baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo huo.
UDOM Yabuni Mashine ya Kisasa ya Kuuza Vinywaji Baridi Inayojiendesha
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kupitia Ndaki ya Sayansi za Kompyuta na Elimu
Angavu, kimebuni mashine ya kisasa ya kuuza ...
35 minutes ago
No comments:
Post a Comment