Habari za Punde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Azungumza na Baadhi ya Viongozi Wanawake wa Ichini Indonesia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na baadhi ya Viongozi mbalimbali Wanawake wa Indonesia katika Mkutano uliofanyika Jakarta ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya Kitaifa nchini humo.

Baadhi ya viongozi mbalimbali Wanawake wakiwa kwenye Mkutano na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan uliofanyika Jijini Jakarta ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya Kitaifa nchini humo tarehe 25 Januari, 2024.

Picha na Ikulu.

 

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.