Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Mwinyi Atowa Mkono wa Pole kwa Familia ya Marehemu Sheikh.Machano Makame

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wanafamilia ya Marehemu Sheikh.Machano Makame, kuitikia dua ya kumuombea marehemu alipofika kutoa mkono wa pole kwa familia nyumbani kwao mtaa wa Muembemakumbi Wilaya ya Mjini Unguja jana 26-1-2024.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiwapungia mkono majirani wa  Familia ya Marehemu Sheikh Machano Makame mtaa wa  Mwembemakumbi Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo baada ya kuifariji familia hiyo kwa Kifo cha  Mzee wao aliyefariki hivi karibuni.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.