RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya
Ulinzi ya UAE.Mhe.Dr.Ali Rashid Alnuaimi alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa
mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgeni wake
Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi ya UAE Mhe.Dr, Ali Rashid Alnuaimi, mazungumzo
hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Mwenyekiti wa
Kamati ya Ulinzi ya UAE Mhe.Dr.Ali Rashid Alnuaimi (kulia kwa Rais) mazungumzo
hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 19-6-2024 na
(kushoto) Balozi Mdogo wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu - UAE. Anayefanyia
kazi zake Zanzibar Mhe. Saleh Ahmed Alhemeiri
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhi zawadi na mgeni wake
Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi ya UAE Mhe.Dr. Ali Rashid Alnuaimi, baada ya
kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya Mlango mgeni wake
Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi ya UAE Mhe.Dr. Ali Rashid Alnuaimi, baada ya
kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya Mlango mgeni wake Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi ya UAE Mhe.Dr. Ali Rashid Alnuaimi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 19-6-2024.
No comments:
Post a Comment