Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amewaongoza Mawaziri wenzake; Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Jerry Silaa (Mb), katika kikao na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia, anayesimamia nchi za Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, Bi. Victoria Kwakwa , aliyepo nchini katika ziara ya kikazi, ambapo katika kikao hicho, Serikali na Benki ya Dunia, wamejadiliana masuala ya msingi ya kuendeleza ushirikiano kati ya pande hizo mbili ikiwemo uhifadhi na utalii pamoja na maendeleo ya watu na Taifa kwa ujumla.
TANROADS YATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA KUTATUA CHANGAMOTO YA FOLENI
MBAGALA RANGI TATU
-
Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dar es Salaam imetia saini
mkataba wa ujenzi wa barabara ya njia nne kutoka Mbagala Rangi Tatu hadi
Kon...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment