Inna lilahi wainna ilayhi raajiuun. Haji Kimara ametangulia mbele ya haki.Allah ampe Qauli thabit na amsameh makosa yake.Haji Aliwahi kuchezea timu ya Small Simba wakati ule wa Moto Small.Na aliwahi kuchezea timu ya Kikwajuni
MHE. RIDHIWANI KIKWETE AWASILISHA MUSWADA WA SHERIA ZA KAZI KWA KAMATI YA
BUNGE
-
Na; Mwandishi Wetu - DODOMA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira
na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete amewasilisha ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment