Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki maadhimisho ya kilele cha Miaka 61, ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika katika uwanja wa Gombani, wilaya ya Chakechake, mkoa wa Kusini Pemba, Zanzibar leo tarehe 12 Januari, 2025.Mgeni Rasmi wa maadhimisho hayo alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Emmanuel Nchimbi
Awasili Nchini Congo Kumuwakilisha Mhe.Dkt.Rais Samia Suluhu Hassan
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi, akipokelewa na Waziri wa Biashara za Kimataifa wa Jamhuri ya
Kidemokr...
1 hour ago






No comments:
Post a Comment