Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, akiongoza kikao cha Baraza la Mapinduzi kilichofanyika , Pemba tarehe 11 Januari 2025. Kikao cha Baraza la Mapinduzi cha kwanza kwa mwaka huu wa 2025.
Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar Uwanja wa Gombani
Pemba leo 12-1-2025
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akipokea Maandamano ya Wananchi katika Maadhimisho ya Kilele cha
Miaka 61...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment