Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Azindua Sera ya Maji na Usafi wa Mazingira

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizindua Sera ya Maji na Usafi wa Mazingira 2025, uzinduzi huo uliyofanyika 22-3-2025 katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja. 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akionesha Kitabu cha Sera ya Maji na Usafi wa Mazingira 2025, baada ya Uzinduzi wa Sera hiyo uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja 22-3-2025.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika mkutano wa Uzinduzi wa Sera ya Maji na Usafi wa Mazingira  2025, uzinduzi huo uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja 22-3-2025
VIONGOZI wa Taasisi za Serikali Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia wakati wa Uzinduzi wa Sera ya Maji na Usafi wa Mazingira 2025, uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja 22-3-2025.
WAFANYAKAZI wa Taasisi ya Rand Water wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia wakati wa Uzinduzi wa Sera ya Maji na Usafi wa Mazingira 2025, uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja 22-3-2025
WAFANYAKAZI  wa Wizara ya Maji,Nishati na Madini Zanzibar na Wageni Waalikwa katika mkutano wa Uzinduzi wa Sera ya Maji na Usafi wa Mazingira 2025, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika mkutano huo wa Uzinduzi, uliiyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar leo 22-3-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa TUZO Maalumu na Waziri wa Maji Nishati na Madini Zanzibar Mhe. Shaibu Hassan Kaduara, wakati wa Uzinduzi wa Sera ya Maji na Usafi wa Mazingira 2025 uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.



WAFANYAKAZI  wa Wizara ya Maji,Nishati na Madini Zanzibar na Wageni Waalikwa katika mkutano wa Uzinduzi wa Sera ya Maji na Usafi wa Mazingira 2025, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika mkutano huo wa Uzinduzi, uliiyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar 22-3-2025

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.