Habari za Punde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Amezinduzi wa Sera Mpya ya mbo ya Nje Tanzania 2024 Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar esv Salaam.l

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Tanzania Mhe.Balozi Mahmoud Thabit Kombo na Viongozi mbalimbali, alipowasili katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuhudhuria Uzinduzi wa Sera Mpya ya Mambo ya Nje Tanzania, uliofanyika 19-5-2025.


RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan na (kulia kwa Rais) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Tanzania Mhe.Balozi Mahmoud Thabit Kombo, wakiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi mbalimbali wanaowakilisha Nchini zao Tanzania, wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Sera Mpya ya Mambo ya Nje Tanzania uliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.19-5-2025.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan na (kulia kwa Rais) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Balozi Mahmoud Thabit Kombo, wakiwa katika picha ya pamoja na Waliowahi kuwa Watendaji Wakuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Sera Mpya ya Mambo ya Nje Tanzania uliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.19-5-2025.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan na (kulia kwa Rais) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Tanzania Mhe.Balozi Mahmoud Thabit Kombo, wakiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi mbalimbali wanaowakilisha Nchini zao Tanzania, wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Sera Mpya ya Mambo ya Nje Tanzania uliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.19-5-2025.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suhulu Hassan na (kulia kwa Rais) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Rais Mstaafu wa Tanzania Mhe.Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Tanzania Mhe.Balozi Mahmoud Thabit Kombo, akitowa maelezo wakati wakitembelea banda la maonesho la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Tanzania, katika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, katika hafla ya uzinduzi wa Sera Mpya ya Mambo ya Nje Tanzania,uzinduzi huo uliyofanyika 19-5-2025.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suhulu Hassan na (kulia kwa Rais) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi wakipata maelezo wakati wakitembelea banda la maonesho la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Tanzania, katika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, katika hafla ya uzinduzi wa Sera Mpya ya Mambo ya Nje Tanzania,uzinduzi huo uliyofanyika 19-5-2025.



RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi wakielekea katika ukumbi baada ya kumaliza kutembelea maonesho wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Sera Mpya ya Mambo ya Nje Tanzania, uliyofanyika katika ukumbi Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.19-5-2025

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi wakiwa katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam na Viongozi mbalimbali, wakati ukipigwa wimbo wa Taifa wa Tanzania na wa Afrika Mashariki, kabla ya kuaza kwa hafla ya Uzinduzi wa Sera Mpya ya Mambo ya Nje Tanzania, uliofanyika katika ukumbi huo 19-5-2025



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Sera Mpya ya Mambo ya Nje Tanzania, uzinduzi huo uliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam 19-5-2025.


RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan akizindua Sera Mpya ya Mambo ya Nje Tanzania, uzinduzi huo uliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, 19-5-2025 na (kulia kwa Rais) Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Balozi Mahmoud Thabit Kombo.
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Vitabu vya Sera Mpya ya Mambo ya Nje Tanzania, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, baada ya kuzindua Sera hiyo katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam 19-5-2025
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Vitabu vya Sera Mpya ya Mambo ya Nje Tanzania, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, baada ya kuzindua Sera hiyo katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam 19-5-2025















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.