Habari za Punde

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Akagua Kazi ya Kuondoa Magugu Maji katika Ziwa Victoria Eneo la Kigongo Busisi Mkoani Mwanza


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akikagua athari za magugu maji katika eneo la Kingongo  Busisii mkoani Mwanza, Mei 29, 2025. Kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na mazingira, Cyprian Luhemeja.
 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akikagua athari za magugu maji katika siwa Victoria kwenye eneo la Kingongo  Busisii mkoani Mwanza, Mei 29, 2025. Kushoto ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Muungano na Mazingira, Cyprian Luhemeja
Sehemu ya Magugu maji yaliyoondolewa ziwa Victoria  katika eneo la Kigongo Busisi mkoani Mwanza na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alishuhudia  kazi ya uondoaji magugu maji hayo, Mei 19, 2025.
 Mtambo  wa kuondoa magugu maji kwenye Ziwa Victoria katika eneo la Kigongo Busisi mkoani Mwanza. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alikagua kazi ya uondoanji magugu maji hayo, Mei 19, 2025.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi katika eneo la Kigongo wilayani Misungwi wakati  alipokagua uondoaji maguigu maji kwenye ziwa Victoria katika eneo na Kigongo na Busisi mkoani Mwanza, Mei 19, 2025 


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.