Habari za Punde

Yas / Mixx Yavutia Wengi Maonesho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025 Viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Yas /Mixx Zanzibar. Azizi Saidi Ali, wakati akitembelea banda la maonesho la  kampuni ya simu ya Yas/Mixx , katika viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusinin Unguja, katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025 , yaliyofanyika Mkoa wa Kusini Unguja 1-5-2025.


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu na Mkurugenzi wa Yas /Mixx Zanzibar. Azizi Saidi Ali, wakati akitembelea maonesho ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, yaliyofanyika katika viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja 1-5-2025


















 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.