RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kutowa mkono wa pole kwa
Katibu Mtendaji Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume, kwa
kufiwa na Kaka yake Abdallah Ali Mfaume, alipowasili katika viwanja Msikiti wa
Ijumaa Miembeni Wilaya ya Mjini Unguja kwa ajili ya Sala ya Ijumaa na Sala ya
Maiti iliyofanyika katika msikiti huo, baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa
leo 13-6-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Kadhi Mkuu wa Zanzibar
Sheikh.Hassan Othman Ngwali,alipowasili katika viwanja vya Msikiti wa Ijumaa
Miembeni Wilaya ya Mjini Unguja kwa ajili ya Sala ya Ijumaa,iliyofanyika leo
13-6-2025 na Sala ya Maiti kumsalia marehemu Abdallah Ali Mfaume, Kaka wa
Katibu Mtendaji Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi katika kubeba jeneza likiwa
na mwili wa marehemu Abdallah Ali Mfaume, kwa ajili ya Sala ya Maiti
iliyofanyika katika Msikiti wa Miembeni Wilaya ya Mjini Unguja, baada ya Sala
ya Ijumaa iliyofanyika leo 13-6-2025 katika msikiti huo na (kushoto kwa Rais)
Katibu Mtendaji Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali MfaumeRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali na
Wananchi katika Sala ya Maiti kumsalia marehemu Abdallah Ali Mfaume,
iliyoongozwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Hassan Othman Ngwali,
iliyofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Miembeni Wilaya ya Mjini Unguja leo
13-6-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali na
Wananchi katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Abdallah Ali Mfaume,
ikisomwa na Sheikh.Sameer Zulfikar,baada ya kumalizika kwa Sala ya Maiti, kumsalia
marehemu Abdallah Ali Mfaume, iliyofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Miembeni
Wilaya ya Mjini Unguja leo 13-6-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali na
Wananchi katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Abdallah Ali Mfaume,
ikisomwa na Sheikh.Sameer Zulfikar,baada ya kumalizika kwa Sala ya Maiti, kumsalia
marehemu Abdallah Ali Mfaume, iliyofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Miembeni
Wilaya ya Mjini Unguja leo 13-6-2025
No comments:
Post a Comment