Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU) Mhe. Majalio Paul Kyara. Mgombea huyo waaliambatana na Mgombea Mwenza, Mhe. Satia Mussa Bebwa (kushoto) alichukua fomu hizo leo Agosti 13, 2025 ambapo Tume inataraji kufanya uteuzi Agosti 27 mwaka huu. Kualia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume, Ndg. Ramadhan Kailima. (Picha na INEC).
Rais Mstaaf wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Jakaya Kikwete
Ahudhuria Mkutano Mkuu wa Uwekezaji wa Maji Afrika Jijini Cape Town Afrika
Kusini
-
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika Mkutano wa Kwanza wa Uwekezaji wa
Maji Afri...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment