Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Mhe. Gombo Samandito Gombo. Mgombea huyo waaliambatana na Mgombea Mwenza, Mhe. Husna Mohamed Abdalla (kushoto) alichukua fomu hizo Agosti 13, 2025 ambapo Tume inataraji kufanya uteuzi Agosti 27 mwaka huu. (Picha na INEC).
Rais Mstaaf wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Jakaya Kikwete
Ahudhuria Mkutano Mkuu wa Uwekezaji wa Maji Afrika Jijini Cape Town Afrika
Kusini
-
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika Mkutano wa Kwanza wa Uwekezaji wa
Maji Afri...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment