Habari za Punde

MMMH! KAZI NYENGINE...

Anaitwa Masoud Chile anafanya kazi hii peku peku bila ya gloves wala nini anadai mafuta ya taa ndiyo kiboko ya kila mdudu kwani hata wakitapisha vyoo kwanza hujipaka mafuta ya taa mwili mzima kabla ya kuingia lindini na wala hawapati maradhi yoyote.
Nilimnasa akiwa kibaruani mitaa ya kati kati.
Mmmmmh kazi nyengine...

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.