Karume Boys walifanikiwa kupata penelti katika dakika ya 74 ambayo ilipigwa na Ventrous Kamanya kusawazisha katika mchezo ambao muda mwingi ulichezwa huku kukinyesha mvua mkubwa.
Katika mchezo hu ambao ulikuwa wa kibabe, mchezaji mmoja wa Zanzibar alitolewa kwa kadi nyekundu wakati wachezaji wawili wa Rwanda pia walitolewa na Refa David Sagaro kutoka Kenya.
Hata hivyo ushindi wa Zanzibar dhidi ya Yemen umeingia mashakani baada ya kuchezesha mchezaji mmoja anaedhaniwa kuwa na umri mkubwa kwani kwenye hati yake ya kusafiria imeonesha amezaliwa 1989 wakati wachezaji wanaokubalika ni kuanzia waliozaliwa 1991.
Wafungaji - 5. Ahmed Saleh, (amejifunga mwenyewe, 35’), 10. Ventrous Kamanya - Penelti (74’)
Coach - Abdel Al Fatah (Misri)
RWANDA - 1. Marcel Nzarora: 2. Michel Rusheshangoga, 15. Faustin Usengimana, 8. Emery Bayisenge, 5. Eric Rutanga (3. Celestin Ndayishimiye, 75’), 6. Robert Ndatimana, 16. Patrick Umwungeri, 17. Jean-Paul Rulisa, 9. Isaie Songa (10. Innocent Mugabo, 74’), 12. Justin Mico, 11. Innocent Habyalimana
No comments:
Post a Comment