Habari za Punde

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango Ashiriki Mazishi ya Kitaifa ya Raila Odinga Nchini Kenya

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Naibu Rais wa Jamhuri ya Kenya Prof. Kithure Kindiki, wakati alipowasili Uwanja wa Nyayo Jijini Nairobi kushiriki Mazishi ya Kitaifa ya Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya, Raila Amolo Odinga, leo tarehe 17 Oktoba 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Musalia Mudavadi wakati alipowasili Uwanja wa Nyayo Jijini Nairobi kushiriki Mazishi ya Kitaifa ya Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya, Raila Amolo Odinga, leo tarehe 17 Oktoba 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimfariji Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Dkt. William Ruto wakati wa  Mazishi ya Kitaifa ya Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya, Raila Amolo Odinga, yaliyofanyika Uwanja wa Nyayo Jijini Nairobi leo tarehe 17 Oktoba 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya, Raila Amolo Odinga, wakati wa Mazishi ya Kitaifa yaliyofanyika Uwanja wa Nyayo Jijini Nairobi leo tarehe 17 Oktoba 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya, Raila Amolo Odinga, wakati wa Mazishi ya Kitaifa yaliyofanyika Uwanja wa Nyayo Jijini Nairobi leo tarehe 17 Oktoba 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Viongozi mbalimbali wakishiriki Mazishi ya Kitaifa ya Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya, Raila Amolo Odinga, yaliyofanyika Uwanja wa Nyayo, Jijini Nairobi leo tarehe 17 Oktoba 2025.




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.