Rajab Mkasaba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk Amani Abeid Karume leo amemuapisha Jaji Mshibe Ali Bakari kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kuchunguza Sheria.
Hafla hiyo ilifanyika Ikulu mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na viongozi mbali mbali akiwemo Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Pandu Ameir Kificho, Jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahmoud, Waziri wa Nchi Afisi ya Rais anayeshughulikia fedha na
Uchumi, Mhe. Mwinyihaji Makame.
Wengine ni Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Katiba na Utawala Bora Mhe. Ramadhan Abdalla Shaaban Waziri wa Nchi Afisi ya Waziri Kiongozi Mhe.Hamza Hassan Juma. Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe. Abdalla Mwinyi Khamis,Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji pamoja na viongozi wengine wa serikali.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk Amani Abeid Karume leo amemuapisha Jaji Mshibe Ali Bakari kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kuchunguza Sheria.
Hafla hiyo ilifanyika Ikulu mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na viongozi mbali mbali akiwemo Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Pandu Ameir Kificho, Jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahmoud, Waziri wa Nchi Afisi ya Rais anayeshughulikia fedha na
Uchumi, Mhe. Mwinyihaji Makame.
Wengine ni Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Katiba na Utawala Bora Mhe. Ramadhan Abdalla Shaaban Waziri wa Nchi Afisi ya Waziri Kiongozi Mhe.Hamza Hassan Juma. Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe. Abdalla Mwinyi Khamis,Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji pamoja na viongozi wengine wa serikali.
Hii habari ni fupi na haina information za kutosha hasa kwa sie tulio huku nje.
ReplyDelete