Habari za Punde

Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1

Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung Jijini Zanzibar. katika mchezo huo timu hiyo zimetoka sare ya bao 1-1. 











 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.