Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume, akipokea zawadi ya Ngao maalum ya Heshima, kutoka kwa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi, akikabidhi kwa niaba ya Wananchi wa Zanzibar, wakati wa Sherehe a Kumuaga Rais akiwa amemaliza muda wake wa kazi hiyo, ifikapo uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu Octoba 31,sherehe hizo zilifanyika jana viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar.
Picha na Ramadhan Othman
No comments:
Post a Comment