RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein akitoka katika ukumbi wa Baraza baada ya kulizinduwa rasmin baraza la 8 akiongozana na Spika wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho na Makamo wa Kwanza wa Rais Seif Sharif Hamad.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Serikali, kushoto Spika wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho, Makamo wa Pili wa Rais wa ZANZIBAR Balozi Seif Ali Iddi, kulia Jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahmoud na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Seif Sharif Hamad. wakiwa nje ya ukumbi wa BARAZA LA WAWAKILISHI baada ya kulizindua leo.
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho na Jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahmoud wakizungumza nje ya jengo la Baraza baada ya kuzinduliwa Baraza hilo la Kikao cha 8 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein.
No comments:
Post a Comment