Habari za Punde

WALIOHUDHURIA KATIKA SHEREHE ZA KUAPISHWA KWA MAALIM SEIF NA BALOZI IDDI

Kutoka kulia ni Jaji Mkuu Hamid Mahmoud, Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe. Abdalla Mwinyi Khamis, Mstahiki Meya wa mji wa Zanzibar Mhe. Mahboub Juma Issa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Omar Makungu
 Wakuu wa vikosi vya ulinzi nao pia walishuhudia
 Salum Bimani nae alikuwepo katika kushuhudia kuapishwa kwa Makamo wawili wa Marais
 Mwakilishi wa kuteuliwa Juma Duni nae pia alikuwepo
Baadhi ya Wabunge na Wawakilishi wa chama cha CUF pia walikuwepo

Picha na Ramadhan Othman

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.