TIRA na DSE wasaini Makubaliano ya Kimkakati Kuimarisha Sekta ya Bima na
Masoko ya Mitaji
-
Na Karama Kenyunko, Michuzi Tv
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) na Soko la Hisa la Dar es
Salaam (DSE) wamesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) ...
4 hours ago
Hapa ni Shangani ya Baghani; hii nyumba ya upande wa kushoto (kwenye waya wa vyumba-vyumba) ni nyumbani kwa dokta Duchi na huko anapoelekea anayeendesha vespa, ukipinda upande wa kulia unaelekea kwa Adinani muuza mbatata.
ReplyDeleteHapo ni mji mkongwe :-)))))
ReplyDeleteMakame bin Mchambawima