Habari za Punde

DK SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA UTURUKI


Rais wa Zanzibar wa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein akibadilishana mawazo na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Dr.Sander Gurbuz aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar jana.

Rais wa Zanzibar wa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Dr.Sander Gurbuz.

,
Rais wa Zanzibar wa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Dr.Sander Gurbuz aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar jana

Picha na Ramadhan Othman, Ikulu

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.