Habari za Punde

MAALIM HAJI MAKAME USSI WA SUZA AFUNDISHA KISWAHILI MAREKANI

Kijana kwenye picha ni Maalim Haji Makame Ussi wa SUZA. Yupo USA ( Marekani) kutoa mafunzo yatakayosaidia kufundisha Kiswahili kwa wageni akiwa katika mhadhara na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Indiana - Indiana University kitengo cha Lugha ambacho mkuu wake pia ni Mzanzibari Bi Alwiya Omar.
Kwa maelezo zaidi ingia kwenye link hii hapa chini

http://www.idsnews.com/news/story.aspx?id=79187&search=zanzibar&section=search

1 comment:

  1. Hongera kijana na waalimu wote wa kiswahili waliopo nchi za nje ...hii ndio moja kati ya lugha kubwa kwa Afrika

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.