Habari za Punde

MSIMU WA MANANASI, MAFENESI, MADAFU...

 Naam linaitwa dafu lakini hili si la kitamli na lina kila aina ya sifa ukitaka la nyama laini au nyama nzito ya kushibisha na kinywaji natural cha kuburudisha koo. Moja shilingi ????
 SASA ndio msimu wa matunda haya ya Fenesi katika kisiwa chetu cha Zenj  na Mdau huyu akifanya biashara ya matunda hayo katika mitaa ya darajani na kipande kimoja huuza shillingi 200/=.
MFANYABIASHARA ya kutembeza matunda ya Mananasi akitembeza matunda hayo kutafuta wate wake katika mitaa ya magomeni kutokana na bidhaa hiyo kuwa nyingi sokoni wakati huu wa msimu wake katika visiwa vya Unguja na Pemba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.