BAADHI ya Vijana waliomaliza skuli kidatu cha Nne hawakubahatika kuendelea kidatu cha Sita kutokana na kutofaulu masomo yao kuwa na maksi (alama) kidogo wakijaza Fomu za kuomba kufanya Mtihani wa Kidatu cha Nne wakijaza fomu ili kuzituma kwa nja ya Posta wakiwa katika Posta ya Shangani wakijaza fomu hizo.
TET NA TAKUKURU KUENDELEZA USHIRKIANO KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA
-
Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa
(TAKUKURU) kuendeleza ushirikiano katika mapambano dhidi ya Rushwa nchini
kupit...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment