Habari za Punde

BONANZA LA WAANDISHI WA HABARI ZANZIBAR


NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni Utalii na Michezo Bihindi Hamad akimkabidhi Kikombe cha Ubingwa wa Netiboli timu ya Habari  X. Bakari  baada ya kuifunga timu ya  MCC kwa mabao  27-12 

NAIBU Waziri wa Habari, utamaduni Michezo na Utalii, Bihindi Hamad akimkabidhi Kikombe cha Ubingwa wa Bonanza Nahodha wa timu ya TVZ Mzee Ali, baada ya kuifunga timu ya MCC.


 WANAHABARI Wanawake wakishiriki shindano la kukuna nazi katika tamasha la bonaza lilofadhiliwa na Benki ya watu wa Zanzibar (PBZ

 WANAHABARI Wanawake wa vyombo mbalimbali vya habari wakishiriki mbio za kufukuza Kuku
WASHIRIKI wa mbio za Mbatata wanawake wakishindana katika mbio hizo na mchezaji wa Zanzibar leo Mwanajuma Abdi ametokea Mshindi wa kwanza 
WACHEZAJI wa timu ya Zanzibar leo Wanawake kuvuta kamba kulia  na timu ya STZ kushoto  wakiwa katika mpambano wa kuvuta kamba na timu ya Zanzibar leo imeshinda  mchezo huo

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.