WANANCHI wakiangali ajali iliotokea maeneo ya makutano ya barabara ya Michezani na Gymkhana, ajali hiyo kwa mujibu wa mashuhuda dereva wa gari hiyo la kubebea maji lenye namba za usajili Z 547 BL alimkwepa mtoto akiendesha baskeli huku akitembea na ringi moja imekuwa ni mchezo wa kawaida kwa watoto kufanya michezo hiyo barabarani bila ya kujali madhara ya ajali kwao na kwa watu wengine wanaotumia barabara.
MAKAMU WA RAIS AZITAKA TAASISI ZA FEDHA KUFUATA NYAYO ZA CRDB BENKI.
-
Na.Ashura Mohamed -Arusha
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Isdory Mpango
amezitaka Taasisi nyingine za fedha nchini kuendelea ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment