WANANCHI wakiangali ajali iliotokea maeneo ya makutano ya barabara ya Michezani na Gymkhana, ajali hiyo kwa mujibu wa mashuhuda dereva wa gari hiyo la kubebea maji lenye namba za usajili Z 547 BL alimkwepa mtoto akiendesha baskeli huku akitembea na ringi moja imekuwa ni mchezo wa kawaida kwa watoto kufanya michezo hiyo barabarani bila ya kujali madhara ya ajali kwao na kwa watu wengine wanaotumia barabara.
Mkutano wa TISA wa Wakuu wa Nchi na Serikali TICAD Wahitimishwa Jijini
Yokohama
-
Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu
Maendeleo ya Afrika (Tokyo International Conference on African Development)
umehi...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment