Habari za Punde

DK SHEIN AKUTANA NA WAZIRI WA MAENDELEO YA KIMATAIFA WA FINLAND

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein,akizungumza na Waziri wa Finland, Heidi Huatala, anayeshuhulikia Maendeleo ya Kimataifa,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar Kuonana na Rais

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein,akifuatana na mgeni wake Waziri wa Finland, Heidi Huatala, anayeshuhulikia Maendeleo ya Kimataifa,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana baada ya mazungumzo yao.

Picha na Ramadhan Othman, Ikulu

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.