WAZIRI wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Abdillah Hassan Jihad akizungumza na Uongozi wa TFF na ZFA katika ushirikiano wa masuwala ya michezo kwa pande hizo mbili mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa hateli ya Bwawani jana, kulia Rais wa TFF LeodgarTenga.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
5 hours ago
lkn mkuu, umeutumia vizuri mkutano wako na tenga? maana sasa tunahitaji kua 'realistics'Tunakataa udhamini wa bia, ligi inakosa udhamini huku bia zina uzwa mpaka chochoroni!'U can't force conviction by dagger' Tunang'ang'ania kuomba uanachama wa FIFA(jambo ambalo ni kinyume na katiba yake) huku ligi yetu inatushinda...sie twaonewa tuuu!!!
ReplyDelete