Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif, AKIFUNGUWA Mkutano wa Baraza Kuu wa UVCCM Mkoa wa Kaskazini Unguja,uliofanyika katika ukumbi wa Ofisi za CCM Jimbo la Kitope Kinduni
Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Baraza la UVCCM Mkoa wa Kaskazini Unguja, wakimsikiliza Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Seif, akifunguwa mkutano huo uliofanyika katika Ukumbi wa Ofisi za Jimbo la Kitope Kinduni.
Mjumbe wa Baraza Kuu wa UVCCM Mkoa wa Kaskazini Unguja,Subira Mohamed,akitowa shukrani kwa niaba ya wajumbe wazeka baada kufunguliwa kwa Mkutano wao.

No comments:
Post a Comment