MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
8 hours ago
Kazi inafanyika, lakini kuna baadhi ya mambo yanarudisha nyuma. mfano, daraja madhubuti, barabara safi, lakini serikali bado inaona aibu kuwambia wananchi waache kujenga nyumba zao karibu na barabra..hebu angalia eh..!
ReplyDeleteTena, inasemekana sheria zipo tokea ukoloni, ni suala la kuwaelimisha wananchi tuu kupitia vyombo vya habari. ili kuepuka kuwavunjia tena wananchi na kuitia hasara serikali, tukija kutaka kupanua tena barabara siku za mbele.
safi sana mapinduzi daimaa
ReplyDelete