GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
4 hours ago
Kazi inafanyika, lakini kuna baadhi ya mambo yanarudisha nyuma. mfano, daraja madhubuti, barabara safi, lakini serikali bado inaona aibu kuwambia wananchi waache kujenga nyumba zao karibu na barabra..hebu angalia eh..!
ReplyDeleteTena, inasemekana sheria zipo tokea ukoloni, ni suala la kuwaelimisha wananchi tuu kupitia vyombo vya habari. ili kuepuka kuwavunjia tena wananchi na kuitia hasara serikali, tukija kutaka kupanua tena barabara siku za mbele.
safi sana mapinduzi daimaa
ReplyDelete