SERIKALI YAWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA KAWE KUREJEA KAZINI HARAKA
-
*Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza leo
Septemba 16, 2025, wakati wa ziara yake ya kukagua athari za moto uliotokea
alfaji...
4 hours ago
Hawa wasyria nao wametuletea balaa tu..hapa!
ReplyDeleteSasa hivi majumbani hatuna raha,..imekua "utatupeleka lini wee.. na sisi tukaone" bidhaa zenyewe nyingi ni za mapambo na bei hazigusiki..sasa imekua 'kifo cha pesa' watu wanasahau mambo ya msingi kwa kununua mapambo kutokana na shinikizo la wake zao..kazi kweli.. kweli!