REA Yagawa Majiko na Mitungi ya Gesi kwa Watumishi wa Magereza Kagera
Kuunga Mkono Matumizi ya Nishati Safi
-
Na Diana Byera, Bukoba
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wamezindua zoezi la kugawa majiko na
mitungi ya gesi 486 kwa watumishi wote wa magereza nane za m...
1 hour ago
Hawa wasyria nao wametuletea balaa tu..hapa!
ReplyDeleteSasa hivi majumbani hatuna raha,..imekua "utatupeleka lini wee.. na sisi tukaone" bidhaa zenyewe nyingi ni za mapambo na bei hazigusiki..sasa imekua 'kifo cha pesa' watu wanasahau mambo ya msingi kwa kununua mapambo kutokana na shinikizo la wake zao..kazi kweli.. kweli!