SHERIA ZILIZOTAFSIRIWA KWA KISWAHILI KUTOLEWA AGOSTI
-
TOLEO la Sheria ambazo zimetafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili zinatarajiwa
kuanza kutoka ifikapo Agosti mwaka huu ikiwa baada ya hivi karibuni Rais
Samia Sul...
2 hours ago
Hawa wasyria nao wametuletea balaa tu..hapa!
ReplyDeleteSasa hivi majumbani hatuna raha,..imekua "utatupeleka lini wee.. na sisi tukaone" bidhaa zenyewe nyingi ni za mapambo na bei hazigusiki..sasa imekua 'kifo cha pesa' watu wanasahau mambo ya msingi kwa kununua mapambo kutokana na shinikizo la wake zao..kazi kweli.. kweli!