MGOMBEA Uwakilishi katika uchaguzi mdogo jimbo la Uzini kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi,Muhamed Raza,akirejesha fomu ya kugombea uwakilishi katika jimbo hilo kwa msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya ya Kati Mussa Ali Juma, baada ya kukamilisha taratibu za kuijaza fomu hiyo,hafla hiyo ilifanyika ofisi za Tume ya Uchaguzi Koani.
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment